LEO BUNGENI-Jumatano, 7.2.2024

*Prof Sospeter Muhongo ametoa ushauri wa kuboresha elimu yetu iendane na matakwa ya ukuaji wa uchumi wa wakati huu.

*Prof Muhongo ameonyesha umuhimu wa kuwekeza kwenye masomo ya sayansi na teknolojia, na kutolea mfano nchi ya India ambayo mwaka jana (2023) pato lake la Taifa (GDP), lilikuwa la tano (5) Duniani lenye US Dollar Trilioni 3.7, sawa na 3.7% ya GDP ya Dunia.

Tafadhali sikiliza CLIP/VIDEO iliyoambatanishwa hapa ambayo ina mchango wote wa Prof Muhongo

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Jumatano, 7.2.2024