MIRADI YA SEKTA YA AFYA NDANI YA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI

baadhi ya MAJENGO ya Hospitali ya Wilaya inayojengwa Jimboni mwetu (Kitongoji cha Kwikonero, Kijiji cha Suguti). DC, DED, MADIWANI na Wafanyakazi wa Halmashauri yetu WAPEWE PONGEZI nyingi sana kwa usimamiaji mzuri wa ujenzi wa Hospitali hii

Jimbo lina Kata 21, Vijiji 68, Vitongoji 374

ZAHANATI

* 24 za Serikali zinazotoa huduma

* 4 za Binafsi zinatoa huduma

* 13 MPYA zimeanza kujengwa na Wanavijiji wakishirikiana na Wadau wa Maendeleo yao

VITUO VYA AFYA

* 2 vya Serikali vinavyotoa huduma za Afya (Murangi & Mugango)

* 1 KIPYA kimeanza kujengwa na Wanavijiji (Kata ya Nyambono) wakishirikiana na Wadau wa Maendeleo yao

HOSPITALI YA WILAYA

* Inajengwa kwenye Kitongoji cha Kwikonero, Kijiji cha Suguti, Kata ya Suguti

* Serikali imetoa Tsh 1.5 bilioni kuanza ujenzi wake

* Kila Kijiji kimekubali kuchangia Tsh Milioni 2.

* Mbunge wa Jimbo amekubali kuchangia

ZAHANATI ZINAZOJENGWA NA WANAVIJIJI

(1) Kitongoji cha Burungu, Kijijini Bukumi, Kata ya Bukumi

(2) Kijijini Butata, Kata ya Bukima

(3) Kijijini Chimati, Kata ya Makojo

(4) Kijijini Chirorwe, Kata ya Suguti

(5) Kijijini Kakisheri, Kata ya Nyakatende

(6) Kijijini Kurwaki, Kata ya Mugango

(7) Kijijini Maneke, Kata ya Busambara

(8) Kijijini Mkirira, Kata ya Nyegina

(9) Kijijini Kurukerege, Kata ya Nyegina

(10) Kijijini Nyegina, Kata ya Nyegina

(11) Kijijini Mmahare, Kata ya Etaro

(12) Kijijini Bwai Kwitururu, Kata ya Kiriba

(13) Kijijini Nyasaungu, Kata ya Ifulifu