KILIMO CHA ALIZETI & UFUTA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI – VIKUNDI VYA VIJANA – JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI – Msimu wa kilimo cha ALIZETI na UFUTA Jimboni umewadia. Vikundi vya Vijana vikiwemo vya UVCCM vinaombwa viwakilishe maombi ya mbegu za ALIZETI na UFUTA kwa Wasaidizi wa Mbunge au Madiwani wa maeneo yao kabla ya tarehe 25 Januari 2018.

Ofisi ya Mbunge.

www.musomavijijini.or.tz