KIKAO CHA UMOJA WA WAZEE WA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI

Tarehe: 23 Januari 2018
Mahali: Kijiji cha SUGUTI
Ajenda: Uzinduzi Rasmi wa Umoja huo
Wajumbe wa Awali wa Umoja huo: Wazee wawili (2) kutoka kila Kijiji. Tunavyo Vijiji 68.
Wasaidizi wa Mbunge na Madiwani watayarishe orodha ya Wajumbe wa Awali wa Umoja huo. Wazee wajichague wenyewe kutoka Vijijini mwao.

Ofisi ya Mbunge