MRADI WA UJENZI WA KITUO CHA AFYA KIJIJINI NYAMBONO

Wazaliwa na Wakazi wa kijiji cha Nyambono wakishirikiana na ndugu na rafiki zao, na wapenda maendeleo kwa ujumla wameamua kujenga kituo cha afya kwa njia ya kujitolea. Mradi huu mkubwa utazinduliwa rasmi na Mh. Mbunge wa Musoma vijijini Prof. Muhongo, tarehe 25/12/2017, Musoma Vijijini.

Kwa maelezo zaidi ya mradi wasiliana na Majura Amon Songo (0765 300 900)

Msaidizi wa Mbunge: Hamisa Gamba (0762 626 881)

Michango yote itumwe kwa Msaidizi wa Mbunge

www.musomavijijini.or.tz