Mbunge wa Jimbo la Musoma vijijini na Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo.

AMBULANCE MPYA KUTOKA INDIA: Tunazo Ambulance 5. Mgawanyo na matumizi ya Ambulance zetu lazima tuzingatie JIOGRAFIA na WINGI wa WANANCHI wanaohudumiwa na Zahanati zetu. Kwa hiyo Ambulance Mpya kutoka India itapelekwa ZAHANATI ya WANYERE. Bado naendelea kutafuta Ambulance nyingine. Tushukuru Serikali ya India. TUZITUNZE
S Muhongo, Mbunge