VIJANA WA SERENGETI KUFUNDISHWA KUTENGENEZA CHAJA NA TAA ZA UMEME JUA

SOLAR LAMP & SOLAR CHARGER: Baada ya vijana 100 wa Jimbo la Musoma Vijijini kufuzu kutengeneza taa na charger za Jua, Mbunge wa Musoma Vijijini amempeleka Mtaalamu Dr H K Choi (S Korea) Wilayani Serengeti akatoe mafunzo hayo kwa vijana wa Serengeti. Mradi huu wa vijijini utatekelezwa ndani ya Wilaya zote za Mkoa wa Mara.