JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI – SALAMU ZA MBUNGE WENU

Tunaposherehekea PASAKA ya 2017, naomba niwakumbushe MAAMUZI tulìyoyafanya: (1) Kuboresha Elimu ya Shule za Msingi na Sekondari, (2) Tuwe na Kilimo chenye kutumia maarifa mapya na ubunifu mpya, (3) Kuboresha Miundombinu ya Matibabu ya kisasa (4) Kufufua Utamaduni wetu. Ardhi, Umeme, Maji na Miundombinu ya Usafiri na Mawasiliano ni nyezo za kujenga uchumi imara. TUTAFANIKIWA.