RUWASA YAENDELEA KUSIFIWA MUSOMA VIJIJINI

Wanavijiji wa KASTAMU, BUANGA na BUTATA sasa wanaouhakika wa kupata MAJI SAFI na SALAMA majumbani mwao

Maji safi na salama ya BOMBA kutoka Ziwa Victoria yaanza kutumika ndani ya VIJIJI 3 vya KASTAMU, BUANGA na BUTATA
ANGALIA FURAHA za Wanavijiji ambao sasa wanaouhakika wa kupata MAJI SAFI & SALAMA majumbani mwao.
SHUKRANI nyingi sana zimetolewa. sikiliza “CLIP” iliyoambatanishwa hapa.
Taarifa kutoka:
*Ofisi ya RUWASA
Musoma DC
*Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
27.12.2021