TIMU YA SOKA YA BIASHARA MUSOMA MJINI YAFANYA ZIARA BUNGENI

Viongozi na wachezaji wa Timu ya Biashara ya Musoma mjini, Mkoani Mara wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mbunge wa Jimbo la Musoma vijijini Prof. Sospeter Muhongo na Mathayo Manyinyi wa Musoma mjini, leo 10, Novemba timu hiyo ilipowatembelea wabunge hao wanaoshiriki vikao vya bunge vinavyoendelea mjini Dodoma.