VIJANA WALIOENDA KUSOMA INDIA WAMSHUKURU PROF MUHONGO

Vijana 6 waliopata ICCR scholarships za kusoma MSc in Applied Geology nchini India.

Vijana sita (6) walioombewa ICCR scholarships na Prof Sospeter Muhongo kwenda kusoma India wamemshukuru Profesa huyo kwa kuwatafutia scholarships hizo.

Wanafunzi hao sita (6) walisoma MSc Applied Geology kwenye maeneo yafuatayo:

*Coal Geology
*Metamorphic Geology
*Mineralogy
*Mineral Processing

Prof Muhongo amepawa pongezi nyingi za kusoma na kufaulu masomo yao vizuri.

Vijana hao wote sita wanafanya kazi kwenye Taasisi za Serikali yetu.

Shukrani kwa:
Prof S Muhongo
19.9.2022