KILIMO CHA ALIZETI – JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI

Tukiwa tunaelekea katika msimu wa kilimo cha alizeti mwezi February 2018, ofisi ya Mbunge inaomba kuwatambua wakulima wanaohitaji mbegu za alizeti Jimboni.

Ofisi ya Mbunge kwa kushirikiana na maafisa kilimo wa Wilaya, Kata, Vijiji na viongozi wengine wanapokea maombi ya wakulima wanaohitaji mbegu hizo kwa ajili ya maandalizi.

Mawasiliano Piga Simu No:
+255765592828 // +255764239821 // +255762 626 881 // +255765 535 200